Warning: session_start(): open(/var/cpanel/php/sessions/ea-php74/sess_5b3089990977c69d4155519857ad530f, O_RDWR) failed: No space left on device (28) in /home/zie/public_html/index.php on line 1

Warning: session_start(): Failed to read session data: files (path: /var/cpanel/php/sessions/ea-php74) in /home/zie/public_html/index.php on line 1
Taasisi ya Elimu ya Zanzibar

Mafunzo ya Mtaala mpya wa Umahiri kwa Wakufunzi.

Taasisi ya Elimu ya Zanzibar inaendelea na Mafunzo ya Mtaala mpya wa Umahiri kwa Wakufunzi ambao wanatarajiwa kuwafundisha walimu wanaofundisha elimu ya msingi (darasa la tatu)

Huduma Tunazotoa

Huduma zinazotolewa na Taasisi ya Elimu ya Zanzibar.

Mitaala

Kuishauri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya mambo yanayohusiana na ukuzaji Mitaala ya Elimu ya Maandalizi, Msingi, Elimu ya Sekondari pamoja na Vyuo vya Ualimu

Tafiti

Kufanya tafiti za Elimu na Kuthibiti Ubora kwenye vifaa vya kufundishia na kujifunzia

Vifaa vya Kufundishia

Kuratibu Utayarishaji wa Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia kwa walimu na wanafunzi

Kutoa Mafunzo

Kutoa Mafunzo kazini yanayohusiana na Mitaala na Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia

Viongozi Wetu

23Miaka

Ya uzoefu katika kutoa huduma ya Mitaala

6657Walimu

Jumla ya walimu waliopatiwa
mafunzo ya mitaala

7760Walimu

Tunategemea kuwapatia mafunzo
ya Mtaala mpya 2024

1,222,756
Vitabu vya Mwalimu na Mwanafunzi

Vimeshapishwa kwa ajili
ya mtaala mpya 2024