Mafunzo ya Mtaala mpya kwa walimu wa ngazi ya maandalizi waliokosa mafunzo yaliyotolewa awali.

Taasisi ya Elimu ya Zanzibar inatoa Mafunzo ya Mtaala mpya kwa walimu wa ngazi ya maandalizi waliokosa mafunzo yaliyotolewa awali. Mafunzo hayo yanaendelea katika kituo cha Walimu (TC) k.samaki, Mkwajuni, na Skuli ya msingi Mahonda. AidhaMafunzo hayo yatafanyika Kisiwani Pemba katika kituo cha Walimu (TC) Mitiulaya na Michakaini.

Huduma Tunazotoa

Huduma zinazotolewa na Taasisi ya Elimu ya Zanzibar.

Mitaala

Kuishauri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya mambo yanayohusiana na ukuzaji Mitaala ya Elimu ya Maandalizi, Msingi, Elimu ya Sekondari pamoja na Vyuo vya Ualimu

Tafiti

Kufanya tafiti za Elimu na Kuthibiti Ubora kwenye vifaa vya kufundishia na kujifunzia

Vifaa vya Kufundishia

Kuratibu Utayarishaji wa Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia kwa walimu na wanafunzi

Kutoa Mafunzo

Kutoa Mafunzo kazini yanayohusiana na Mitaala na Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia

Viongozi Wetu

23Miaka

Ya uzoefu katika kutoa huduma ya Mitaala

6,657Walimu

Jumla ya walimu waliopatiwa
mafunzo ya mitaala

6,457Walimu

Wamepatiwa mafunzo
ya Mtaala mpya 2024

13,114Walimu

Jumla kuu ya Walimu waliopatiwa mafunzo
ya Mtaala mpya 2023/24

1,195,583
Vitabu vya Mwalimu na Mwanafunzi

Vimeshapishwa kwa ajili
ya mtaala mpya 2024 vikiwemo vitabu vya wanafunzi wenye mahitaji maalumu