- Mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Viongozi wa Elimu ya Sekondari
- Mafunzo ya Mfumo wa Masjala (e-office)
- Uzinduzi wa programu 10 za Redio za kujifunza lugha ya Kiingereza
- Muendelezo wa Utoaji wa Mafunzo kwa Walimu
- Muendelezo wa Utoaji wa Mafunzo kwa Walimu - Pemba
- Utiaji saini Mkataba wa Uchapishaji Vitabu kwaajili ya Skuli binafsi Zanzibar
- Kikao cha kutathmini utekelezaji wa Mradi wa Elimu Mjumuisho Zanzibar
- Mafunzo ya Utekelezaji wa Mtaala mpya kwa Walimu wa Maandalizi na Msingi wanaofundisha watoto wenye Mahitaji Maalumu ya kielimu.
- Mafunzo ya Mtaala mpya kwa Walimu wanaofundisha watoto wenye Mahitaji Maalumu
- Kikao kazi cha Kubadilishana Uzoefu katika Masuala ya Elimu ya Watu Wazima
- Ziara ya Kujenga Uhusiano mwema
- Mjumbe wa Sekretarieti ya GPE Lucinda Ramos ametembelea TEZ
- Mahafali ya Skuli ya High Achievement
- TEZ yapokea Ugeni kutoka Gambia
- TEZ yafanya Mkutano na Walimu wakuu wa Skuli za Sekondari Pemba
- TEZ na TET kuandaa muongozo wa kutolea mafunzo ya utekelezaji wa Mtaala mpya kwa walimu wa Sekondari.
- UDOM na TEZ kukusanya maoni ili kutengeza Moduli mpya za mafunzo ya walimu wa Msingi na Sekondari.
- WEMA Kupokea Ripoti ya upembuzi yakinifu (needs assessement report) ya Upitiaji wa Mitaala ya Mafunzo ya Ualimu.
Mafunzo ya Mtaala mpya kwa walimu wa Skuli za Sekondari Zanzibar
Taasisi ya Elimu ya Zanzibar imeanza kutoa Mafunzo ya Mtaala mpya kwa walimu wa Skuli za Sekondari Zanzibar ili kurahisisha utekelezaji wa mtaala huo ambao unaanza kutumika Rasmi mwezi huu wa January 2025. Akifungua Mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Elimu ya Zanzibar Nd. Abdalla M. Mussa huko katika Kituo cha Walimu Kiembe Samaki Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja amesema Mafunzo hayo yanajumuisha walimu wa skuli za Serikali na Binafsi na yameanza kutolewa kwa walimu wanao fundisha somo la Biashara (business study) ambalo ni somo la lazima kwa wanafunzi wote wa Sekondari na baadae yataendela kwa walimu wa masomo mengine. Aidha amewataka walimu hao kuhakikisha wanayatumia vyema mafunzo hayo ili kwenda kuwajenga vyema wanafunzi. Mafunzo hayo ya Siku tano yanatolewaa na Wataalamu wa somo la Biashara kutoka Taasisi ya Elimu ya Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Educate na Taasisi ya Elimu ya Zanzibar.