Meneja wa ZIE afungua kikao kazi cha Watendaji Shirika la Room to read.

Meneja Idara ya Mitaala na Vifaa wa Taasisi ya Elimu y aZanzibar Bi, Wanu Ali Makame amefungua kikao kazi cha Watendaji Shirika la Room to read kilichofanyika katika Ukumbi wa Hoteli ya Verde Mkoa wa mjini Magharibi. Lengo la Mkutano huo ni kujadili miradi inayotekelezwa na shirika hilo ambayo ni Mradi wa Usawa wa kijinsia na Elimu kwa msichana na mradi wa Usomaji na Maktaba. Kikao hicho kimehushisha washriki kutoka nchi za Afrika na wasimamizi kutoka Marekani.

Huduma Tunazotoa

Huduma zinazotolewa na Taasisi ya Elimu ya Zanzibar.

Mitaala

Kuishauri Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar juu ya mambo yanayohusiana na ukuzaji Mitaala ya Elimu ya Maandalizi, Msingi, Elimu ya Sekondari pamoja na Vyuo vya Ualimu

Tafiti

Kufanya tafiti za Elimu na Kuthibiti Ubora kwenye vifaa vya kufundishia na kujifunzia

Vifaa vya Kufundishia

Kuratibu Utayarishaji wa Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia kwa walimu na wanafunzi

Kutoa Mafunzo

Kutoa Mafunzo kazini yanayohusiana na Mitaala na Vifaa vya Kufundishia na Kujifunzia

Viongozi Wetu

23Miaka

Ya uzoefu katika kutoa huduma ya Mitaala

6657Walimu

Jumla ya walimu waliopatiwa
mafunzo ya mitaala

7760Walimu

Tunategemea kuwapatia mafunzo
ya Mtaala mpya 2024

1,222,756
Vitabu vya Mwalimu na Mwanafunzi

Vimeshapishwa kwa ajili
ya mtaala mpya 2024